Mistari ya Biblia kuhusu Titus: With Paul in Macedonia
Mistari kuhusu With Paul in Macedonia
Kwa maana hata tulipoingia Makedonia, miili yetu haikuwa na raha. Tulisumbuliwa kila upande, kwa nje kulikuwa na mapigano na mioyoni mwetu tulikuwa na hofu.
Bali Mungu, yeye awafarijie wenye huzuni, alitufariji kwa kufika kwake Tito.