Mistari ya Biblia kuhusu Shelemiah: 3. Father of Hananiah
Mistari kuhusu 3. Father of Hananiah
Baada yake, Hanania mwana wa Shelemia, na Hanuni mwana wa sita wa Salafu walikarabati sehemu nyingine. Baada yao, Meshulamu mwana wa Berekia alikarabati sehemu iliyokuwa mkabala na nyumba zake za kuishi.