Mistari ya Biblia kuhusu Shammai: 1. Son of Onam
Mistari kuhusu 1. Son of Onam
Wana wa Onamu walikuwa: Shamai na Yada. Wana wa Shamai walikuwa: Nadabu na Abishuri.
Wana wa Yada, nduguye Shamai walikuwa: Yetheri na Yonathani. Yetheri alikufa bila kuzaa watoto.