Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Revenue

2 mistari · 1 kipengele

Mistari muhimu ya Biblia

  1. Uzito wa dhahabu ambayo Solomoni alipokea kwa mwaka ulikuwa talanta 666,

  2. mbali na mapato yaliyoletwa na wafanyabiashara na wachuuzi. Wafalme wote wa Arabuni na watawala wa nchi wakamletea Solomoni dhahabu na fedha.