Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Pelaiah

3 mistari · 2 vipengele

Mistari muhimu ya Biblia

  1. Wana wa Elioenai walikuwa: Hodavia, Eliashibu, Pelaya, Akubu, Yohanani, Delaya na Anani; jumla yao wote saba.

  2. Watu wakiwa wamesimama pale, Walawi wafuatao waliwafunza ile Sheria: Yeshua, Bani, Sherebia, Yamini, Akubu, Shabethai, Hodia, Maaseya, Kelita, Azaria, Yozabadi, Hanani na Pelaya.

  3. na wenzao: Shebania, Hodia, Kelita, Pelaya, Hanani,