Mistari ya Biblia kuhusu Pahath-Moab
Mistari muhimu ya Biblia
wazao wa Pahath-Moabu (wa jamaa ya Yeshua na Yoabu) 2,812
Kutoka wazao wa Pahath-Moabu: Adna, Kelali, Benaya, Maaseya, Matania, Bezaleli, Binui na Manase.
Malkiya mwana wa Harimu, na Hashubu mwana wa Pahath-Moabu walikarabati sehemu nyingine pamoja na Mnara wa Matanuru.
wazao wa Pahath-Moabu (wa jamaa ya Yeshua na Yoabu) 2,818