Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Laver: Directions for making

3 mistari · 8 vipengele

Mistari kuhusu Directions for making

  1. “Tengeneza sinia la shaba lenye kitako cha shaba kwa ajili ya kunawia. Liweke kati ya Hema la Kukutania na madhabahu, kisha uweke maji ndani yake.

  2. Aroni na wanawe watanawa mikono na miguu yao kwa maji yatokayo katika hilo sinia.

  3. Wakati wowote wanapoingia katika Hema la Kukutania, watanawa kwa maji ili kwamba wasije wakafa. Pia, wanapokaribia madhabahu ili kuhudumu kwa kuleta sadaka zilizotolewa kwa Bwana kwa moto,