Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Food: Men and women did not partake together

2 mistari · 4 vipengele

Mistari kuhusu Men and women did not partake together

  1. Kisha akaleta jibini, maziwa na nyama ya yule ndama iliyoandaliwa, akaviweka mbele ya wageni. Walipokuwa wakila, alisimama karibu nao chini ya mti.

  2. Wakamuuliza, “Yuko wapi Sara mkeo?” Akasema, “Yuko huko, ndani ya hema.”