Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Eli: His benediction upon Hannah

2 mistari · 9 vipengele

Mistari kuhusu His benediction upon Hannah

  1. Eli akamjibu, “Nenda kwa amani, naye Mungu wa Israeli na akujalie kile ulichomwomba.”

  2. Hana akasema, “Mtumishi wako na apate kibali machoni pako.” Kisha akaondoka zake na kula chakula, wala uso wake haukuwa na huzuni tena.