Mistari ya Biblia kuhusu Eli: His benediction upon Hannah
Mistari kuhusu His benediction upon Hannah
Eli akamjibu, “Nenda kwa amani, naye Mungu wa Israeli na akujalie kile ulichomwomba.”
Hana akasema, “Mtumishi wako na apate kibali machoni pako.” Kisha akaondoka zake na kula chakula, wala uso wake haukuwa na huzuni tena.