Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Deputy: An officer who administers the functions of a superior in his absence.

2 mistari · 1 kipengele

Mistari kuhusu An officer who administers the functions of a superior in his absence.

  1. Mtu huyu alikuwa pamoja na Sergio Paulo, mtu mwenye hekima aliyekuwa msaidizi wa mwakilishi wa mtawala wa kile kisiwa. Sergio Paulo akawaita Sauli na Barnaba akitaka kusikia neno la Mungu.

  2. Lakini Elima yule mchawi (hii ndiyo maana ya jina lake), aliwapinga Barnaba na Sauli na kujaribu kumpotosha yule mkuu wa kile kisiwa aiache imani.