Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Damascus: Besieged by Rezon

2 mistari · 12 vipengele

Mistari kuhusu Besieged by Rezon

  1. Mungu akamwinua adui mwingine dhidi ya Solomoni, Rezoni mwana wa Eliada, ambaye alikuwa amemkimbia bwana wake Hadadezeri, mfalme wa Soba.

  2. Akawakusanya watu, naye akawa kiongozi wa kundi la waasi, wakati Daudi alipoangamiza majeshi ya Soba; waasi walikwenda Dameski, mahali walipokaa na kumiliki.