Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Civil Engineering

3 mistari

Mistari muhimu ya Biblia

  1. Mikono ya mwanadamu hushambulia miamba migumu sana, na kuiacha wazi mizizi ya milima.

  2. Hutoboa shimo refu la kupenya chini kwa chini kwenye miamba; macho yake huona hazina zake zote.

  3. Hutafuta vyanzo vya mito na kuvileta vitu vilivyofichika katika nuru.