Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Civil Engineering

3 mistari

Tafuta "Civil Engineering"

Mistari muhimu ya Biblia

  1. Mikono ya mwanadamu hushambulia miamba migumu sana, na kuiacha wazi mizizi ya milima.

  2. Hutoboa shimo refu la kupenya chini kwa chini kwenye miamba; macho yake huona hazina zake zote.

  3. Hutafuta vyanzo vya mito na kuvileta vitu vilivyofichika katika nuru.