Mistari ya Biblia kuhusu Civil Engineering
Mistari muhimu ya Biblia
Mikono ya mwanadamu hushambulia miamba migumu sana, na kuiacha wazi mizizi ya milima.
Hutoboa shimo refu la kupenya chini kwa chini kwenye miamba; macho yake huona hazina zake zote.
Hutafuta vyanzo vya mito na kuvileta vitu vilivyofichika katika nuru.