Mistari ya Biblia kuhusu Almond
Mistari muhimu ya Biblia
Anathothi na Almoni, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne.
Kutoka kabila la Benyamini walipewa Gibeoni, Geba, Alemethi na Anathothi, pamoja na maeneo yake ya malisho. Miji hii kumi na mitatu iligawanywa miongoni mwa koo za Wakohathi.