Mistari ya Biblia kuhusu Adnah: 1. One of David's captains
Mistari kuhusu 1. One of David's captains
Daudi alipokwenda Siklagi, hawa ndio watu wa kabila la Manase waliojiunga naye: Adna, Yozabadi, Yediaeli, Mikaeli, Yozabadi, Elihu na Silethai, viongozi wa vikosi vya watu 1,000 katika kabila la Manase.