Skip to content

Tiphsah

1 verse

32.1600, 35.1600 Tazama kwenye Ramani za Google

Mistari inayomtaja Tiphsah

  1. Wakati ule, akianzia Tirsa, Menahemu alishambulia Tifsa na kila mtu ndani yake, na wale waliokuwa maeneo jirani, kwa sababu walikataa kufungua malango yao. Akaiangamiza Tifsa yote, na kuwapasua matumbo wanawake wote wenye mimba.