Skip to content

Thebez

2 verses

32.3200, 35.3600 Tazama kwenye Ramani za Google

Mistari inayomtaja Thebez

  1. Baadaye Abimeleki akaenda Thebesi na kuuzingira kwa jeshi na kuuteka.

  2. Ni nani aliyemuua Abimeleki mwana wa Yerub-Besheth? Je, mwanamke hakutupa juu yake jiwe la juu la kusagia kutoka ukutani, kwa hiyo akafa huko Thebesi? Kwa nini mlisogea hivyo karibu ya ukuta?’ Ikiwa atakuuliza hivi, ndipo umwambie, ‘Pia mtumishi wako Uria, Mhiti, amekufa.’ ”