Rukia maudhui

Sela

3 verses · 2 known names

Anajulikana pia kama: rock

30.3200, 35.4500 Tazama kwenye Ramani za Google

Tafuta "Sela"

Mistari inayomtaja Sela

  1. Mpaka wa Waamori ulikuwa kuanzia Genge la Akrabimu, kuendelea hadi Sela na kuelekea juu.

  2. Pelekeni wana-kondoo kama ushuru kwa mtawala wa nchi, Kutoka Sela, kupitia jangwani, hadi mlima wa Binti Sayuni.

  3. Jangwa na miji yake na vipaze sauti zao; makao anamoishi Kedari na yashangilie. Watu wa Sela waimbe kwa furaha, na wapige kelele kutoka vilele vya milima.