Skip to content

Jarmuth

6 verses

31.7000, 34.9600 Tazama kwenye Ramani za Google

Mistari inayomtaja Jarmuth

  1. Hivyo Adoni-Sedeki mfalme wa Yerusalemu akaomba msaada kwa Hohamu mfalme wa Hebroni, Piramu mfalme wa Yarmuthi, Yafia mfalme wa Lakishi, na Debiri mfalme wa Egloni.

  2. Ndipo hao wafalme watano wa Waamori, ambao ni wafalme wa Yerusalemu, Hebroni, Yarmuthi, Lakishi na Egloni, wakaunganisha majeshi yao. Wakapanda na vikosi vyao vyote, nao wakajipanga dhidi ya Gibeoni na kuishambulia.

  3. Kwa hiyo wakawatoa hao wafalme watano nje ya pango: wafalme wa Yerusalemu, Hebroni, Yarmuthi, Lakishi na Egloni.

  4. mfalme wa Yarmuthi mmoja mfalme wa Lakishi mmoja

  5. Yarmuthi, Adulamu, Soko, Azeka,

  6. katika En-Rimoni, katika Sora, katika Yarmuthi,