Skip to content

Havilah

2 verses

30.1400, 35.2200 Tazama kwenye Ramani za Google

Mistari inayomtaja Havilah

  1. Wazao wa Ishmaeli waliishi kuanzia nchi ya Havila hadi Shuri, karibu na mpaka wa Misri, unapoelekea Ashuru. Hao waliishi kwa uhasama na ndugu zao wote.

  2. Ndipo Sauli akawashambulia Waamaleki toka Havila mpaka Shuri, hadi mashariki ya Misri.