Skip to content

Engedi

6 verses · 2 known names

Anajulikana pia kama: En-gedi

31.4600, 35.3900 Tazama kwenye Ramani za Google

Mistari inayomtaja Engedi

  1. Nibshani, Mji wa Chumvi, na En-Gedi; miji sita pamoja na vijiji vyake.

  2. Naye Daudi akakwea kutoka huko na kuishi katika ngome za En-Gedi.

  3. Baada ya Sauli kurudi kuwafuatia Wafilisti, akaambiwa kwamba, “Daudi yuko katika Jangwa la En-Gedi.”

  4. Watu fulani wakaja wakamwambia Yehoshafati, “Jeshi kubwa linakuja dhidi yako kutoka Edomu tokea ngʼambo ile nyingine ya Bahari. Tayari liko Hasason-Tamari” (yaani En-Gedi).

  5. Mpenzi wangu kwangu mimi ni kama kishada cha maua ya mhina kutoka mashamba ya mizabibu ya En-Gedi.

  6. Wavuvi watasimama kando ya bahari, kuanzia En-Gedi hadi En-Eglaimu huko patakuwa mahali pa kutandaza nyavu za kuvulia samaki. Samaki watakuwa wa aina nyingi, kama samaki wa Bahari Kuu