En-hakkore
31.7500, 34.9700 Tazama kwenye Ramani za Google
Mistari inayomtaja En-hakkore
Bwana akafunua shimo huko Lehi, pakatoka maji. Samsoni alipoyanywa, nguvu zikamrudia na kuhuika. Hivyo chemchemi ile ikaitwa En-Hakore, nayo iko mpaka leo huko Lehi.