Skip to content

Beth-haccherem

2 verses · 2 known names

Anajulikana pia kama: Beth-haccerem

31.6600, 35.2400 Tazama kwenye Ramani za Google

Mistari inayomtaja Beth-haccherem

  1. Lango la Samadi lilikarabatiwa na Malkiya mwana wa Rekabu, mtawala wa wilaya ya Beth-Hakeremu. Alilijenga upya, na kuweka milango yake, na makomeo na nondo.

  2. “Kimbieni kwa usalama wenu, enyi watu wa Benyamini! Kimbieni kutoka Yerusalemu! Pigeni tarumbeta katika Tekoa! Inueni ishara juu ya Beth-Hakeremu! Kwa kuwa maafa yanaonekana yakitoka kaskazini, na uharibifu wa kutisha.