Skip to content

Beth-eked

2 verses · 2 known names

Anajulikana pia kama: house

32.5500, 35.3300 Tazama kwenye Ramani za Google

Mistari inayomtaja Beth-eked

  1. Kisha Yehu akaondoka kuelekea Samaria. Alipokuwa njiani karibu na nyumba ya kukatia manyoya ya kondoo, yaani, Beth-Ekedi ya wachunga kondoo,

  2. Yehu akaagiza, “Wakamateni wakiwa hai!” Kwa hiyo wakawachukua wakiwa hai, watu arobaini na wawili, na kuwachinja kando ya kisima cha Beth-Ekedi. Hakuacha yeyote anusurike.