Skip to content

Beth-barah

1 verse

31.8300, 35.5500 Tazama kwenye Ramani za Google

Mistari inayomtaja Beth-barah

  1. Gideoni akatuma wajumbe katika nchi yote ya vilima vya Efraimu akisema, “Teremkeni dhidi ya Wamidiani na mkazuie vivuko vya maji mbele yao hadi Beth-Bara na pia Yordani.” Hivyo watu wote wa Efraimu wakakutanika pamoja na kuzingira mto wa Yordani hadi Beth-Bara.