Skip to content

Aphek

3 verses

32.1000, 34.9300 Tazama kwenye Ramani za Google

Mistari inayomtaja Aphek

  1. mfalme wa Afeki mmoja mfalme wa Lasharoni mmoja

  2. Nalo neno la Samweli likaja kwa Israeli yote. Basi Waisraeli walitoka kwenda kupigana dhidi ya Wafilisti. Waisraeli wakapiga kambi huko Ebenezeri, nao Wafilisti wakapiga kambi huko Afeki.

  3. Wafilisti wakakusanya majeshi yao yote huko Afeki, nao Waisraeli wakapiga kambi karibu na chemchemi iliyoko Yezreeli.