Skip to content

Shobal

4 mistari · 11 wanafamilia

Mistari inayomtaja Shobal

  1. Hawa ndio waliokuwa wazao wa Kalebu. Wana wa Huri, mzaliwa mkuu wao wa Efrathi, walikuwa: Shobali akamzaa Kiriath-Yearimu,

  2. Wazao wa Shobali, baba yake Kiriath-Yearimu, walikuwa: Haroe, nusu ya wakazi wa mji wa Menuhothi,

  3. Wana wa Yuda walikuwa: Peresi, Hesroni, Karmi, Huri na Shobali.

  4. Reaya mwana wa Shobali akamzaa Yahathi, Yahathi akawazaa Ahumai na Lahadi. Hizi ndizo zilizokuwa koo za Wasorathi.