Skip to content

Jeremiah

4 mistari

Mistari inayomtaja Jeremiah

  1. Seraya, Azaria, Yeremia,

  2. Hawa wafuatao walikuwa makuhani na Walawi ambao walirudi na Zerubabeli mwana wa Shealtieli pamoja na Yeshua: Seraya, Yeremia, Ezra,

  3. Katika siku za Yoyakimu, kulikuwa na wakuu wa jamaa za kikuhani: wa jamaa ya Seraya, Meraya; wa jamaa ya Yeremia, Hanania;

  4. Yuda, Benyamini, Shemaya, Yeremia,