Skip to content

Jediael

3 mistari · 13 wanafamilia

Mistari inayomtaja Jediael

  1. Wana watatu wa Benyamini walikuwa: Bela, Bekeri na Yediaeli.

  2. Mwana wa Yediaeli alikuwa: Bilhani. Wana wa Bilhani walikuwa: Yeushi, Benyamini, Ehudi, Kenaana, Zethani, Tarshishi na Ahishahari.

  3. Hawa wana wote wa Yediaeli walikuwa viongozi wa jamaa zao. Kulikuwako wanaume wapiganaji 17,200 waliokuwa tayari kwenda vitani.