Abiezer
Mistari inayomtaja Abiezer
Abiezeri kutoka Anathothi; Mebunai, Mhushathi;
Ira mwana wa Ikeshi kutoka Tekoa, Abiezeri kutoka Anathothi,
Jemadari wa tisa kwa mwezi wa tisa alikuwa Abiezeri Mwanathothi wa Wabenyamini. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.