Skip to content
Sefania 3:9-10

Sefania 3:9-10

9
“Ndipo nitatakasa midomo ya mataifa, kwamba wote waweze kuliitia jina la Bwana na kumtumikia kwa pamoja.
10
Kutoka ngʼambo ya mito ya Kushi watu wangu wanaoniabudu, watu wangu waliotawanyika, wataniletea sadaka.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options