Rukia maudhui
Zekaria 9:11-12

Urejesho wa Agano na Ushindi

Zekaria 9:11-12
11
Kwako wewe, kwa sababu ya damu ya Agano langu nawe, nitawaacha huru wafungwa wako watoke kwenye shimo lisilo na maji.
12
Rudieni ngome yenu, enyi wafungwa wa tumaini; hata sasa ninatangaza kwamba nitawarejesheeni maradufu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options