Rukia maudhui
Zekaria 3:6-7

Agizo kwa Kuhani Aliyerudishwa

Zekaria 3:6-7
6
Malaika wa Bwana akamwamuru Yoshua:
7
“Hivi ndivyo asemavyo Bwana Mwenye Nguvu Zote: ‘Ikiwa utakwenda katika njia zangu na kushika masharti yangu, basi utaitawala nyumba yangu na kuwa na amri juu ya nyua zangu, nami nitakupa nafasi miongoni mwa hawa wasimamao hapa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options