Skip to content
Zekaria 2:4-5

Zekaria 2:4-5

4
na kumwambia: “Kimbia, umwambie yule kijana, ‘Yerusalemu utakuwa mji usio na kuta kwa sababu ya wingi wa watu na mifugo iliyomo.
5
Mimi mwenyewe nitakuwa ukuta wa moto kuuzunguka,’ asema Bwana, ‘nami nitakuwa utukufu wake ndani yake.’
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options