Zekaria 12:12-14
12
Nchi itaomboleza, kila ukoo peke yake, nao wake zao peke yao. Ukoo wa nyumba ya Daudi na wake zao, ukoo wa nyumba ya Nathani na wake zao,
13
ukoo wa nyumba ya Lawi na wake zao, ukoo wa Shimei na wake zao,
14
na koo zote zilizobaki na wake zao.