Skip to content
Zekaria 12:11-13

Zekaria 12:11-13

11
Katika siku hiyo kilio kitakuwa kikubwa Yerusalemu, kama kilio cha Hadad-Rimoni katika tambarare ya Megido.
12
Nchi itaomboleza, kila ukoo peke yake, nao wake zao peke yao. Ukoo wa nyumba ya Daudi na wake zao, ukoo wa nyumba ya Nathani na wake zao,
13
ukoo wa nyumba ya Lawi na wake zao, ukoo wa Shimei na wake zao,
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options