मुख्य मजकुरावर जा
Tito 3:9-11

Kushughulika na Migawanyiko na Mafundisho Potovu

Tito 3:9-11
9
Lakini jiepushe na maswali ya kipuzi, mambo ya koo, mabishano na ugomvi kuhusu sheria, kwa sababu hayana faida, tena ni ubatili.
10
Mtu anayesababisha mafarakano, mwonye mara ya kwanza, kisha mwonye mara ya pili. Baada ya hapo, usihusike naye tena.
11
Kwa kuwa unajua kwamba mtu kama huyo amepotoka na tena ni mwenye dhambi. Yeye amejihukumu mwenyewe.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options