Skip to content
Tito 3:4-5

Tito 3:4-5

4
Lakini wema na upendo wa Mungu Mwokozi wetu ulipofunuliwa,
5
alituokoa, si kwa sababu ya matendo ya haki tuliyotenda, bali kwa sababu ya rehema zake. Alituokoa kwa kutuosha kwa kuzaliwa mara ya pili na kwa kufanywa wapya kwa njia ya Roho Mtakatifu,
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options