Skip to content
Tito 1:1-2

Tito 1:1-2

1
Paulo, mtumishi wa Mungu na mtume wa Yesu Kristo kwa ajili ya imani ya wateule wa Mungu na kuijua kweli iletayo utauwa:
2
imani na ujuzi ulioko katika tumaini la uzima wa milele, ambao Mungu, asiyesema uongo, aliahidi hata kabla ya kuwekwa misingi ya ulimwengu,
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options