Naar de inhoud
Warumi 9:18-19

Warumi 9:18-19

18
Kwa hiyo basi, Mungu humhurumia yeye atakaye kumhurumia na humfanya mgumu yeye atakaye kumfanya mgumu.
19
Basi mtaniambia, “Kama ni hivyo, kwa nini basi bado Mungu anatulaumu? Kwa maana ni nani awezaye kupinga mapenzi yake?”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options