Skip to content
Warumi 8:15-16

Warumi 8:15-16

15
Kwa maana hamkupokea roho ya utumwa iwaleteayo tena hofu, bali mlipokea roho ya kufanywa wana, ambaye kwa yeye twalia, “Abba, yaani, Baba,”
16
Roho mwenyewe hushuhudia pamoja na roho zetu ya kwamba sisi tu watoto wa Mungu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options