Rukia maudhui
Warumi 3:10-12

Warumi 3:10-12

10
Kama ilivyoandikwa: “Hakuna mwenye haki, hakuna hata mmoja.
11
Hakuna hata mmoja mwenye ufahamu, hakuna hata mmoja amtafutaye Mungu.
12
Wote wamepotoka, wote wameoza pamoja; hakuna atendaye mema, naam, hakuna hata mmoja.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options