Rukia maudhui
Warumi 16:1-2

Phoebe Apokelewa, Mbeba Barua

Warumi 16:1-2
1
Napenda kumtambulisha kwenu dada yetu Foibe, mtumishi katika kanisa la Kenkrea.
2
Naomba mpokeeni katika Bwana ipasavyo watakatifu na kumpa msaada wowote atakaohitaji kutoka kwenu, kwa maana yeye amekuwa msaada kwa watu wengi, mimi nikiwa miongoni mwao.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options