Rukia maudhui
Warumi 15:8-11

Warumi 15:8-11

8
Kwa maana nawaambia kwamba, Kristo amekuwa mtumishi kwa wale waliotahiriwa ili kuonyesha kweli ya Mungu na kuthibitisha zile ahadi walizopewa baba zetu wa zamani,
9
pia ili watu wa Mataifa wamtukuze Mungu kwa rehema zake. Kama ilivyoandikwa: “Kwa hiyo nitakutukuza katikati ya watu wa Mataifa; nitaliimbia sifa jina lako.”
10
Tena yasema, “Enyi watu wa Mataifa, furahini pamoja na watu wa Mungu.”
11
Tena, “Msifuni Bwana, ninyi watu wa Mataifa wote, na kumwimbia sifa, enyi watu wote.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options