Warumi 12:11-15
11
Msiwe wavivu, bali mwe na bidii katika roho mkimtumikia Bwana.
12
Kuweni na furaha katika tumaini, katika dhiki kuweni na saburi, dumuni katika maombi.
13
Changieni katika mahitaji ya watakatifu, wakaribisheni wageni.
14
Wabarikini wale wanaowatesa, barikini wala msilaani.
15
Furahini pamoja na wenye kufurahi, lieni pamoja na wale waliao.
Settings