Skip to content
Warumi 12:9-13

Warumi 12:9-13

9
Upendo lazima usiwe na unafiki. Chukieni lililo ovu, shikamaneni na lililo jema.
10
Pendaneni ninyi kwa ninyi kwa upendo wa ndugu. Waheshimuni na kuwatanguliza wengine.
11
Msiwe wavivu, bali mwe na bidii katika roho mkimtumikia Bwana.
12
Kuweni na furaha katika tumaini, katika dhiki kuweni na saburi, dumuni katika maombi.
13
Changieni katika mahitaji ya watakatifu, wakaribisheni wageni.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options