Skip to content
Warumi 12:10-12

Warumi 12:10-12

10
Pendaneni ninyi kwa ninyi kwa upendo wa ndugu. Waheshimuni na kuwatanguliza wengine.
11
Msiwe wavivu, bali mwe na bidii katika roho mkimtumikia Bwana.
12
Kuweni na furaha katika tumaini, katika dhiki kuweni na saburi, dumuni katika maombi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options