본문으로 건너뛰기
Warumi 1:21-23

Warumi 1:21-23

21
Kwa maana ingawa walimjua Mungu, hawakumtukuza yeye kama ndiye Mungu wala hawakumshukuru, bali fikira zao zimekuwa batili na mioyo yao ya ujinga ikatiwa giza.
22
Ingawa walijidai kuwa wenye hekima, wakawa wajinga
23
na kubadili utukufu wa Mungu aishiye milele kwa sanamu zilizofanywa zifanane na mwanadamu ambaye hufa, na mfano wa ndege, wanyama na viumbe vitambaavyo.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options