Přejít k obsahu
Ufunuo 22:6-7

Ufunuo 22:6-7

6
Kisha yule malaika akaniambia, “Maneno haya ni ya kuaminika na kweli. Bwana, Mungu wa roho za manabii, alimtuma malaika wake kuwaonyesha watumishi wake yale ambayo hayana budi kutukia upesi.”
7
“Tazama, naja upesi! Amebarikiwa yeye ayashikaye maneno ya unabii wa kitabu hiki.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options