Skip to content
Ufunuo 2:25-29

Ufunuo 2:25-29

25
Lakini shikeni sana mlicho nacho, mpaka nitakapokuja.
26
“Atakayeshinda na kutenda mapenzi yangu mpaka mwisho, nitampa mamlaka juu ya mataifa:
27
“ ‘Atawatawala kwa fimbo ya chuma, atawavunja vipande vipande kama chombo cha udongo’: kama vile mimi nilivyopokea mamlaka kutoka kwa Baba yangu.
28
Nami nitampa pia ile nyota ya asubuhi.
29
Yeye aliye na sikio na asikie yale ambayo Roho ayaambia makanisa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options