Skip to content
Ufunuo 18:4-5

Ufunuo 18:4-5

4
Kisha nikasikia sauti nyingine kutoka mbinguni ikisema: “Tokeni katikati yake, enyi watu wangu, ili msije mkashiriki dhambi zake, ili msije mkapatwa na pigo lake lolote;
5
kwa kuwa dhambi zake zimelundikana hadi mbinguni, naye Mungu ameukumbuka uhalifu wake.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options